Mistari ya Biblia kuhusu Answers To Prayer: Promised
Mistari kuhusu Promised
Ndipo utaita, naye Bwana atajibu, utalia kuomba msaada, naye atasema: Mimi hapa. “Kama ukiiondoa nira ya udhalimu, na kunyoosha kidole na kuzungumza maovu,
Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
“Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango.