Skip to content

Hebron

8 mistari · 8 wanafamilia

Mistari inayomtaja Hebron

  1. Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

  2. Koo za Wakohathi zilikuwa ni: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

  3. Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

  4. Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

  5. Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake 80.

  6. Wana wa Kohathi walikuwa wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

  7. Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

  8. Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.