Hebron
Mistari inayomtaja Hebron
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
Koo za Wakohathi zilikuwa ni: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake 80.
Wana wa Kohathi walikuwa wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.