Rukia maudhui
Zaburi 83:9-12

Sala ya Hukumu kwa Kutegemea Matendo ya Zamani

Zaburi 83:9-12
9
Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani, na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini hapo kijito cha Kishoni,
10
ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.
11
Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,
12
ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options