Rukia maudhui
Zaburi 73:1-3

Mapambano ya Kwanza ya Mtunga Zaburi

Zaburi 73:1-3
1
Zaburi ya Asafu. Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale ambao mioyo yao ni safi.
2
Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza; nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.
3
Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna nilipoona kufanikiwa kwa waovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options