Rukia maudhui
Zaburi 5:1-3

Sala ya asubuhi ya kumwomba Mungu asikilize

Zaburi 5:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, tegea sikio maneno yangu, uangalie kupiga kite kwangu.
2
Sikiliza kilio changu ili unisaidie, Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako ninaomba.
3
Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Bwana; asubuhi naleta haja zangu mbele zako, na kusubiri kwa matumaini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options