Skip to content
Zaburi 5:4-6

Zaburi 5:4-6

4
Wewe si Mungu unayefurahia uovu, kwako mtu mwovu hataishi.
5
Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako, unawachukia wote watendao mabaya.
6
Unawaangamiza wasemao uongo. Bwana huwachukia wamwagao damu na wadanganyifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options