Skip to content
Zaburi 5:4-6

Utakatifu wa Mungu na chuki yake dhidi ya uovu

Zaburi 5:4-6
4
Wewe si Mungu unayefurahia uovu, kwako mtu mwovu hataishi.
5
Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako, unawachukia wote watendao mabaya.
6
Unawaangamiza wasemao uongo. Bwana huwachukia wamwagao damu na wadanganyifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options