Zaburi 4:8
Inaonyesha mstari 8 pamoja na muktadha unaouzunguka.
5
Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
6
Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
7
Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
8
Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
Settings