Rukia maudhui
Zaburi 44:23-26

Ombi la Kukata Tamaa kwa Mungu Kuingilia

Zaburi 44:23-26
23
Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala? Zinduka! Usitukatae milele.
24
Kwa nini unauficha uso wako na kusahau taabu na mateso yetu?
25
Tumeshushwa hadi mavumbini, miili yetu imegandamana na ardhi.
26
Inuka na utusaidie, utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options