Rukia maudhui
Zaburi 134:3

Baraka ya Mungu Kutoka Sayuni

Zaburi 134:3
Inaonyesha mstari 3 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
3
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options