Zaburi134
Listen to this chapter
0:00
0:00
1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
3
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.
Use ← → arrow keys to navigate
Settings
Reading Style
Typeface
Font Size px
Options
Study Note