Skip to content
Zaburi 134:1-2

Wito kwa Watumishi wa Hekalu

Zaburi 134:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options