Inaonyesha mstari 3 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
3
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.