Rukia maudhui
Mithali 30:29-31

Mithali za Namba: Mwenendo wa Kifalme

Mithali 30:29-31
29
“Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika mwendo wao, naam, vinne ambavyo hutembea kwa mwendo wa madaha:
30
simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama, asiyerudi nyuma kwa chochote;
31
jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu, naye mfalme pamoja na jeshi lake lililomzunguka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options