Skip to content
Mithali 30:24-28

Mithali 30:24-28

24
“Vitu vinne duniani vilivyo vidogo, lakini vina akili nyingi sana:
25
Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo, hata hivyo hujiwekea akiba ya chakula chao wakati wa kiangazi.
26
Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo hata hivyo hujitengenezea nyumba zao kwenye miamba.
27
Nzige hawana mfalme, hata hivyo huenda pamoja vikosi vikosi.
28
Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options