Skip to content
Mithali 30:21-23

Mithali 30:21-23

21
“Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:
22
Mtumwa awapo mfalme, mpumbavu ashibapo chakula,
23
mwanamke asiyependwa aolewapo, naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options