Rukia maudhui
Mithali 3:21-26

Hekima Hutoa Usalama na Amani

Mithali 3:21-26
21
Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, usiache vitoke machoni pako;
22
ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako na pambo la neema shingoni mwako.
23
Kisha utaenda katika njia yako salama, wala mguu wako hautajikwaa;
24
ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.
25
Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,
26
kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options