Rukia maudhui
Mithali 23:26-28

Hatari ya Uasherati

Mithali 23:26-28
26
Mwanangu, nipe moyo wako, macho yako na yafuate njia zangu,
27
kwa maana kahaba ni shimo refu na mwanamke mpotovu ni kisima chembamba.
28
Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia, naye huzidisha wasio waaminifu miongoni mwa wanaume.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options