Rukia maudhui
Waamuzi 10:17-18

Maandalizi ya Vita Dhidi ya Amoni

Waamuzi 10:17-18
17
Ndipo Waamoni wakaitwa vitani na kupiga kambi huko Gileadi, Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi huko Mispa.
18
Viongozi wa watu wa Gileadi wakaambiana wao kwa wao, “Yeyote yule atakayeanzisha mashambulizi dhidi ya Waamoni atakuwa kiongozi wa wote wakaao Gileadi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options