Skip to content
Yoshua 15:20-62

Yoshua 15:20-62

20
Huu ndio urithi wa kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo:
21
Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
22
Kina, Dimona, Adada,
23
Kedeshi, Hazori, Ithnani,
24
Zifu, Telemu, Bealothi,
25
Hazor-Hadata, Kerioth-Hezroni (yaani Hazori),
26
Amamu, Shema, Molada,
27
Hasar-Gada, Heshmoni, Beth-Peleti,
28
Hasar-Shuali, Beer-Sheba, Biziothia,
29
Baala, Iyimu, Esemu,
30
Eltoladi, Kesili, Horma,
31
Siklagi, Madmana, Sansana,
32
Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.
33
Kwenye shefela ya magharibi: Eshtaoli, Sora, Ashna,
34
Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,
35
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36
Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.
37
Senani, Hadasha, Migdal-Gadi,
38
Dileani, Mispa, Yoktheeli,
39
Lakishi, Boskathi, Egloni,
40
Kaboni, Lamasi, Kitlishi,
41
Gederothi, Beth-Dagoni, Naama na Makeda; yote ni miji kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42
Libna, Etheri, Ashani,
43
Yifta, Ashna, Nesibu,
44
Keila, Akzibu na Maresha; yote ni miji tisa pamoja na vijiji vyake.
45
Ekroni, pamoja na viunga vyake na vijiji vyake;
46
magharibi ya Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;
47
Ashdodi, miji yake na vijiji vyake na Gaza viunga vyake na vijiji vyake, hadi kufikia Kijito cha Misri na Pwani ya Bahari Kuu.
48
Katika nchi ya vilima: Shamiri, Yatiri, Soko,
49
Dana, Kiriath-Sana (yaani Debiri),
50
Anabu, Eshtemoa, Animu,
51
Gosheni, Holoni na Gilo; miji kumi na mmoja pamoja na vijiji vyake.
52
Arabu, Duma, Ashani,
53
Yanimu, Beth-Tapua, Afeka,
54
Humta, Kiriath-Arba (yaani Hebroni), na Siori; miji tisa pamoja na vijiji vyake.
55
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57
Kaini, Gibea na Timna; miji kumi pamoja na vijiji vyake.
58
Halhuli, Beth-Suri, Gedori,
59
Maarathi, Beth-Anothi na Eltekoni; miji sita pamoja na vijiji vyake.
60
Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu) na Raba; miji miwili pamoja na vijiji vyake.
61
Huko jangwani: Beth-Araba, Midini, Sekaka,
62
Nibshani, Mji wa Chumvi, na En-Gedi; miji sita pamoja na vijiji vyake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options