Rukia maudhui
Ayubu 20:1-3

Sofari amkaripia Ayubu na kutaja kanuni

Ayubu 20:1-3
1
Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
2
“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.
3
Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options