Skip to content
Ayubu 19:28-29

Ayubu 19:28-29

28
“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
29
ninyi wenyewe uogopeni upanga, kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga, nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options