Skip to content
Ayubu 20:1-3

Sofari amkaripia Ayubu na kutaja kanuni

Ayubu 20:1-3
1
Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
2
“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.
3
Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options