Skip to content
Ayubu 20:1-3

Ayubu 20:1-3

1
Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
2
“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.
3
Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options