Rukia maudhui
Ayubu 18:1-4

Bildadi ayakaripia maneno ya Ayubu

Ayubu 18:1-4
1
Bildadi Mshuhi akajibu:
2
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options