Skip to content
Ayubu 18:5-10

Ayubu 18:5-10

5
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
6
Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
7
Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
8
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
9
Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
10
Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options