Rukia maudhui
Hosea 12:3-6

Mfano wa Yakobo, Baba wa Israeli

Hosea 12:3-6
3
Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake; kama mwanadamu, alishindana na Mungu.
4
Alishindana na malaika na kumshinda; alilia na kuomba upendeleo wake. Alimkuta huko Betheli na kuzungumza naye huko:
5
Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Bwana ndilo jina lake!
6
Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako; dumisha upendo na haki, nawe umngojee Mungu wako siku zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options