Rukia maudhui
Mwanzo 22:20-24

Wazao wa Nahori

Mwanzo 22:20-24
20
Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana:
21
Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),
22
Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.”
23
Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.
24
Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options