Skip to content
Mwanzo 23:1-2

Kifo cha Sara na maombolezo ya Abrahamu

Mwanzo 23:1-2
1
Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.
2
Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options