Aller au contenu
Mwanzo 10:3

Mwanzo 10:3

Inaonyesha mstari 3 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options