דלג לתוכן
Mwanzo 10:2

Mwanzo 10:2

Inaonyesha mstari 2 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options