Rukia maudhui
Wakolosai 3:18-21

Kanuni za Nyumbani

Wakolosai 3:18-21
18
Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
19
Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
20
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
21
Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options