Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Zuph

3 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kulikuwepo na mtu mmoja kutoka Rama, Msufi kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ambaye jina lake aliitwa Elikana mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.

  2. Walipofika sehemu ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi aliyekuwa pamoja naye, “Njoo, sisi na turudi, au baba yangu ataacha kufikiria juu ya punda na kuanza kufadhaika kutuhusu sisi.”

  3. mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,