Mistari ya Biblia kuhusu Zuph: 1. A Kohathite
Mistari kuhusu 1. A Kohathite
Kulikuwepo na mtu mmoja kutoka Rama, Msufi kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ambaye jina lake aliitwa Elikana mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.
mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,