Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Zaccur

6 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;

  2. Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.

  3. Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.

  4. Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12

  5. Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.

  6. pamoja na baadhi ya makuhani wenye tarumbeta, na pia walikuwa na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu,