Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Tola

6 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

  2. Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

  3. Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya Efraimu, akainuka kuokoa Israeli.

  4. Akaamua Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa, naye akazikwa huko Shamiri.

  5. Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.

  6. Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.