Mistari ya Biblia kuhusu Tithe: The Pharisees scrupulous in paying
Mistari kuhusu The Pharisees scrupulous in paying
“Lakini ole wenu, Mafarisayo, kwa maana mnampa Mungu zaka za mnanaa, mchicha na kila aina ya mboga, lakini mnapuuza haki na upendo wa Mungu. Iliwapasa kufanya haya ya pili bila kupuuza hayo ya kwanza.
Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’