Mistari ya Biblia kuhusu Time: End of
Mistari kuhusu End of
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena!