Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Time: The evil time

2 mistari · 44 vipengele

Tafuta "Time"

Mistari kuhusu The evil time

  1. Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

  2. Zaidi ya hayo, hakuna mwanadamu ajuaye wakati saa yake itakapokuja: Kama vile samaki wavuliwavyo katika wavu mkatili, au ndege wanaswavyo kwenye mtego, vivyo hivyo wanadamu hunaswa na nyakati mbaya zinazowaangukia bila kutazamia.