Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Time: The evil time

2 mistari · 44 vipengele

Mistari kuhusu The evil time

  1. Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

  2. Zaidi ya hayo, hakuna mwanadamu ajuaye wakati saa yake itakapokuja: Kama vile samaki wavuliwavyo katika wavu mkatili, au ndege wanaswavyo kwenye mtego, vivyo hivyo wanadamu hunaswa na nyakati mbaya zinazowaangukia bila kutazamia.