Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Spear: Probably pointed at both ends

1 mstari · 26 vipengele

Mistari kuhusu Probably pointed at both ends

  1. Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.