Mistari ya Biblia kuhusu Social and Family Prayer: Paul
Mistari kuhusu Paul
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.
Lakini muda wetu ulipokwisha, tukaondoka tukaendelea na safari yetu. Wale wanafunzi pamoja na wake zao na watoto wakatusindikiza hadi nje ya mji. Wote tukapiga magoti pale pwani tukaomba.