Mistari ya Biblia kuhusu Sin Offering: Was eaten by the priests in a holy place, when its blood had not been brought into the tabernacle
Mistari kuhusu Was eaten by the priests in a holy place, when its blood had not been brought into the tabernacle
Kuhani anayeitoa ndiye atakayeikula; itakuliwa katika mahali patakatifu, katika ua wa Hema la Kukutania.
Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.
Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu yake imeletwa ndani ya Hema la Kukutania kufanya upatanisho katika Mahali Patakatifu kamwe haitaliwa; lazima iteketezwe.