Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Sin Offering: Was eaten by the priests in a holy place, when its blood had not been brought into the tabernacle

3 mistari · 25 vipengele

Mistari kuhusu Was eaten by the priests in a holy place, when its blood had not been brought into the tabernacle

  1. Kuhani anayeitoa ndiye atakayeikula; itakuliwa katika mahali patakatifu, katika ua wa Hema la Kukutania.

  2. Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.

  3. Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu yake imeletwa ndani ya Hema la Kukutania kufanya upatanisho katika Mahali Patakatifu kamwe haitaliwa; lazima iteketezwe.