Mistari ya Biblia kuhusu Shepherds: Going before and leading them
Mistari kuhusu Going before and leading them
Uliongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Mose na Aroni.
Lakini aliwatoa watu wake kama kundi, akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza