Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Shechem

3 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

  2. Kwa hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Abiezeri, Heleki, Asirieli, Shekemu, Heferi na Shemida. Hawa ndio wanaume wale wengine wa uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo zao.

  3. Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.