Mistari ya Biblia kuhusu Shamir: 2. A city in Mount Ephraim. Home and burial place of Tola, the judge
Mistari kuhusu 2. A city in Mount Ephraim. Home and burial place of Tola, the judge
Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya Efraimu, akainuka kuokoa Israeli.
Akaamua Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa, naye akazikwa huko Shamiri.