Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Shamir

4 mistari · 3 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Katika nchi ya vilima: Shamiri, Yatiri, Soko,

  2. Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya Efraimu, akainuka kuokoa Israeli.

  3. Akaamua Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa, naye akazikwa huko Shamiri.

  4. Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.