Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Seraiah: 1. Called also Sheva, Shisha, and Shavsha, David's scribe

4 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu 1. Called also Sheva, Shisha, and Shavsha, David's scribe

  1. Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;

  2. Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;

  3. Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;

  4. Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;