Mistari ya Biblia kuhusu Seraiah: 1. Called also Sheva, Shisha, and Shavsha, David's scribe
Mistari kuhusu 1. Called also Sheva, Shisha, and Shavsha, David's scribe
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;
Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;