Mistari ya Biblia kuhusu Seraiah: 9. Son of Azriel. Commanded by King Jehoiakim to seize Jeremiah
Mistari kuhusu 9. Son of Azriel. Commanded by King Jehoiakim to seize Jeremiah
Badala yake, mfalme akamwamuru Yerameeli, mwana wa mfalme, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kuwakamata mwandishi Baruku na nabii Yeremia. Lakini Bwana alikuwa amewaficha.