Mistari ya Biblia kuhusu Selfishness: Seeking after gain
Mistari kuhusu Seeking after gain
Ni mbwa wenye tamaa kubwa, kamwe hawatosheki. Wao ni wachungaji waliopungukiwa na ufahamu; wote wamegeukia njia yao wenyewe, kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.