Mistari ya Biblia kuhusu Reu
Mistari muhimu ya Biblia
Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu.
Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Eberi, Pelegi, Reu,