Mistari ya Biblia kuhusu Reasoning: Not a sufficient guide in human affairs
Mistari kuhusu Not a sufficient guide in human affairs
Msifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.