Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Ransom: Of a man's life

8 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu Of a man's life

  1. Lakini ikiwa malipo yatatakiwa kwake, basi anaweza kulipa kinachodaiwa ili kuukomboa uhai wake.

  2. “Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja lazima alipe kwa Bwana fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.

  3. Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.

  4. Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuukomboa uhai wa mwingine, au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

  5. Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,

  6. Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

  7. Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.

  8. “Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma,